
Wanafunzi wengi wa shule za msingi, sekondari na hata vyuo hawafanyi vizuri kitaaluma kwa sababu ya wazazi wao kutofuatilia maendeleo ya watoto wao. Wazazi wanafikiri majukumu yao ni kulipa ada na michango mengine pekee na kuwaachia walimu.
Ndugu yetu Gotfrid Mtana kupitia gazeti...