
Matokeo ya utafiti yaliotangazwa na taasisi ya Twaweza yanahitaji utafiti zaidi ili kuthibitisha.Kwa macho ya kawaida haionyeshi kuwa ubora wa elimu umeongezeka bali idadi ya wanafunzi imeongezeka. Tumeongeza idadi ya wanaohudhuria shule lakini hatujaongeza ubora. Habari hii imeandikwa...