Friday, November 25, 2016

Utafiti: Elimu bure imeongeza ubora wa elimu

Matokeo ya utafiti yaliotangazwa na taasisi ya Twaweza yanahitaji utafiti zaidi ili kuthibitisha.Kwa macho ya kawaida haionyeshi kuwa ubora wa elimu umeongezeka bali idadi ya wanafunzi imeongezeka. Tumeongeza idadi ya wanaohudhuria shule lakini hatujaongeza ubora. Habari hii imeandikwa...

Mkapa: Maagizo ya viongozi yanaua elimu

Wazee wanapojitokeza kusema neno ni lazima kulitafakari na kulitendea kazi. Mzee Mkapa amesema By Habel Chidawali, Mwananchi hchidawali@mwananchi.co.tz Dodoma. Wakati Serikali ikiendelea na mkakati wa kubadilisha mfumo wa elimu, Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamini Mkapa amesema maagizo...

Friday, November 11, 2016

Mwalimu Mkuu ampiga mwanafunzi ngumi za uso.

Mwalimu una nafasi ya kuzuia matukio ya aina hii yasiendelee. Ni kweli kuwa kuna wakati wanafunzi wanaudhi kupindukia lakini imetupasa kujizuia hasira zinapokuwa juu dhidi ya wanafunzi. Matukio ya namna hii yakiendelea taswira ya taaluma ya ualimu itachafuka na kuonekana kama...

Sunday, November 6, 2016

Ushirikina kikwazo kingine cha maendeleo ya elimu yetu

IMANI ZA KISHIRIKIKINA KIKWAZO MOJA WAPO CHA MAENDELEO YA ELIMU Kumekuwa na visa vingi vya vitendo vya kishirikina dhidi ya walimu, zipo shule zimekosa hata walimu baada ya walimu kukimbia kwa kuhofia ushirikiana. Baadhi ya maeneo yanaogopeka sana kwa ushirikina kiasi kwamba walimu...

Thursday, November 3, 2016

Tusipobadili mitaala vijana wetu watabaki vibarua

Bado taifa hili lina watu wanaofikiri vizuri kiasi cha kuweza kutoa mawazo ya kuiendeleza nchi. Tunapaswa kujivunia watu hao wenye vipawa vya kufikiri na wenye ujasiri wa kuweka mawazo yao wazi kwa maslahi mapana ya nchi.  Mwandishi wa makala hii ni miongoni mwa watu...

Watuhumiwa kuvujisha mtihani kidato cha nne

Kama nilivyodokeza awali kila mwaka mitihani ya kitaifa inapofanyika lazima kuwepo na viashiria vya wizi wa mtihani huo. Hii ni matokeo ya kuwa na walimu,wanafunzi ,wazazi na jamii ambayo inaamini kuna njia ya mkato ya mafanikio katika maisha na katika elimu. Tunapaswa kubadili...

Wednesday, November 2, 2016

Tuesday, November 1, 2016

UCHAMBUZI: Mwalimu akithaminiwa elimu yetu itapanda chati

Mwalimu ni mzizi wa elimu. Uboreshaji wa elimu unapaswa uaanzie kwenye mizizi ya elimu ambao ni walimu. Kinyume na hapo tutafanya mengi lakini elimu itazidi kushuka. Mr.Mwalimu Blog tunaamini ni wakati wa kila mwenye mawazo ya kuboresha elimu ayaseme ili tuwe na mjadala wakitaifa...
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...